Recent content by Shekaina Glory

  1. S

    David Kafulila awatakia Watanzania X-MAS njema

    Katika kusheherekea sikuu ya X-Mass hivi ndivyo alivyoandika katika ukurasa wake wa X zamani Tweeter Mkurugenzi Mtendaji wa kituo cha Ubia nchini kati ya Sekta ya Umma(Serikali ) na Sekta Binafsi (mtu au kampuni) PPPC Bwana David Kafulila amesema:- Ni siku muhimu sana, hasa katika Ukristo...
  2. S

    PostGE2025 PICHA: Hii ndio Ambulance mpya ya Mbunge Sara Msafiri aliyoikabidhi kituo cha Afya Mziha, Yeye amshukuru sana Rais Samia

    MBUNGE SARA MSAFIRI AKABIDHI AMBULANCE KITUO CHA AFYA MZIHA Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mheshimiwa Sara Msafiri, amekabidhi rasmi gari la wagonjwa (ambulance) kwa Kituo cha Afya Mziha, huku akitoa maagizo mazito kwa uongozi wa kituo hicho kuhakikisha gari hilo linatumika kikamilifu kwa lengo la...
  3. S

    PostGE2025 MVOMERO: Mbunge Sara Msafiri baada ya kuchaguliwa Kwa kishindo Oct 29 aanza kuwatumikia Wananchi wake kwa Unyeyekevu mkubwa

    MHE. SARA MSAFIRI APOKEA TAARIFA YA UTEKELEZAJI WA MIRADI YA MAENDELEO MVOMERO Mbunge wa Jimbo la Mvomero, Mkoani Morogoro, Mhe. Sara Msafiri amefanya kikao kazi na Wakuu wa idara mbalimbli pamoja na taasisi za Serikali, ambapo amepokea taarifa za utekelezaji wa miradi ya maendeleo...
Back
Top Bottom