Sasa shemeji ni Mungu yupi huyo ambae anaruhusu Pombe? Chama chenu kimesema kikishika hatamu mtaboresha pombe aina ya Gongo lakini nisimakatalie huyo Mungu atakuwa wa pale Ufipa.
Jmushi1 matusi ya nini mimi nakuona ni mwehu kwasababu unamtukana mtu usiye mjua ni sawa na kurusha ngumi hewani tulia ufunzwe historia ya kweli ya hawa wazee... acha kurukaruka kama kuku aliyechinjwa!
Nguruvi3
Haya unayaandika kwa chuki zako binafsi sisi tunaitaka Zanzibar yetu huru lakini hilo suala la Zanzibar ni mzigo ni tusi kubwa kwa wazanzibar..... yaani natamani hata kesho huu muungano uvunjike.
Zanzibar tulikuwa hatujui mambo ya @ulevi,uzinzi,wizi mmetuletea nyie wadanganyika...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.