jmni mm nimepata transfer juzi alhamisi na Jana ijumaa nimetoka kudeposit transfer fee nisubiri mda gani jina langu halijafika chuoni ndo nifuatilie???
hakuna cha resources wala nini ada ni kibwa jmni tumaini dar es salaam ada yao ni 2.2m tuition fee only imagine.... bado chuo hakina hostel serikali iangalie vizuri bora mwakani wasipewe kabisa hadi wakubali kupunguza ada....
wanatutesa sana hawa majamaa. halafu ety ndo chuo cha kkkt badala ya...
jamani TCU this year wametenda watu.... pipoz are suffering coz of ishu ya Vyuo Mungu atusaidie tu. tuombeeni wadogo zenu kama mimi Nina point nzuri zaidi ya kumi but wananitesa tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.