😂😂Kutaja jina hakuthibitishi kitu kipo ni kumbukumbu ya wazo tu, si uhalisia.
Mfano
Nimetaja Superman je, sasa Superman anaishi kweli? Hapana, ni fikra tu kwenye akili ya binadamu.
Vivyo hivyo, kutaja “Mungu” hakuonyeshi yupo kunathibitisha tu kwamba watu wana wazo la Mungu.
Au nikisema mwana...
Kinachosikitisha wanasema Mungu yupo kila sehemu so alikuwepo hapo anaangalia hayo mauaji na alikuwa na uwezo wa kuzuia lakini kaa tu
Binadamu tu wa kawaida akiwa na uwezo wa kuzuia hayo mauaji angezuia💔
Ujasiri wa kuamini Mungu mwenye Nguvu na upendo wote sijui wanatoa wapi🤦🏽♂️
Dah![emoji17]
Dr. Sonia hakuna aliyekupongeza naona kuna imaginary friend huku anapongezwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Sent from my VTR-L29 using JamiiForums mobile app
Wakubwa poleni majukumu ya kila siku
sababu ya kuleta huu uzi ni kuomba msaada namna ya kuacha kujichua
Ni miaka 3 imepita toka niingie katka huu mchezo nimejtahd kuacha but simalizi hata mwezi anarudi tena
ki ukweli imensababishia maisha yangu kuwa namaumivu ya mgongo,uchovu muda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.