Mkimbia kwao Mtumwa, hii kauli inauzito fula hivi... Ila yote hayo ni uwekezaji tu wala tusimlaumu yeye wala serikali sababu kila inchi ina taratibu zake za uwekezaji hapo me na sema ni swala la muda tuu.. Tanzania na Kenya ni nchi mbili tafauti na kinacho wabana uwekezaji Tanzania ni Personal...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.