Sawa mie sibishi ila fatilia ata walimu wa daresalam sana sana shule za kata na wao hawaingii madarasani kufundisha kwa nini?na wengine wana magari yao kabisa wanaendesha..mwanangu yupo shule ya msingi apa dar kwa siku wakisoma sana ni subject mbiri sasa jameni maisha magumu kwa walimutu na tena...
Mimi sio sheria,kama unakuja na madai uje na evidence pia,you can't ask me who is magu when here at jf everyone calls him that!check kwenye text zingine ulizo quote and uwaulize the same!
Zilipigwa bei ya chini na wakina nani walinunua?alfu una evidence gani magu alihusika?maana kama mimi sielewi kama h akuna evidence.. ..sasa kama amna evidence nikama story ya mtaani ndio maana inavumaa alfu tunaachana nayo tunasonga ..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.