Recent content by sharmake

  1. S

    Mgomo wa wahadhiri UDOM wanukia

    Kuwa na Chancellor, VC, DVC ARC, Director HR, Bursar, Internal Auditor, Director Undergraduate Studies, Director Finance na kadha wa kadha Wakristo in maanisha UDSM ina udini? "Kunya anye kuku akinya bata kaharisha"
  2. S

    Hawa ndio wabaya wa waislamu na uislamu wenyewe kwa Tanzania...

    Bwana Mohamed umejitahidi kuonyesha tatizo kwa mujibu wa tafiti zako ulizo fanya na watu wengi wamekuunga mkono. Sikatai kila mtu ana mawazo yake katika mambo lakini katika hili nawapinga wote walochangia. Tatizo kubwa la Waislamu wa Tanzania na dunia nzima kwa ujumla ni KUTOFUATA MAFUNDISHO...
Back
Top Bottom