Poleni watanzania wenzangu kwa mauaji yaliyokithiri kwa hasa kwa miezi hii ya karibuni. Mauaji haya ya kuchinja watu ni ya kulaani na kama watanzania hatuna budi kuwafichua wahalifu sambamba na kudumisha urafiki kati ya jamii na jeshi la polisi ili kutokomeza tabia hii mbovu inayotaka kujengeka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.