Recent content by Shamuse_bey

  1. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    ni wewe unavyo ona ila mimi naelewa kua unzinzi ni kujamiana inje ya ndoa, yani watu wakiwa hawajaoana na mengine uliosema, kama nyeto.
  2. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    ahaah basi sawa mkuu nimekuelewa hapo, wacha niende panaponiruhusu kutokana na hali yangu kiuchumi.
  3. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    unataka kumaanisha nini ukisema hivyo.
  4. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    kwa maana hiyo hapo pangu pakavu tiamchuzi wanaishi kikomando.
  5. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    basi sawa wacha nikaapply huko. Na hivi ada yao ikoje kwa mwaka.
  6. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    aah mkuu, inamaana pesa hutumika sana kama ukiwa ATC kuliko MUST?
  7. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    "E="Holoholo, post: 56600337, member: 709104"] Achana na chuo, utapoteza pesa na muda baada ya chuo utarudi bila kitu home na ajira hupati. Jikite ktk fani. " kwani wewe chuo umesoma hujasoma?
  8. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Kati ya ATC ARUSHA na MUST MBEYA ni wapi life iko cheap kuliko mwenzie kati ya hivi vyuo viwili?

    Habari viongozi na poleni na uchovu wa kazi, kama kichwa hapo juu kinavyosema kwahiyo ningependa kujua viongozi kati ya ATC na MUST ni wapi life yake ni cheap kuliko mwenzie?
  9. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    okay man.
  10. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    sawa kiongozi
  11. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    sasa wewe unaamini nini kama sio unaamini hivyo.
  12. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

  13. Shamuse_bey

    JamiiForums Tanzania Maana sahihi ya Mzinifu na Malaya ni ipi?

    sasa ikiwa ni imani ya dini ni vibaya?
Back
Top Bottom