Recent content by shamsi shabani

  1. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    SIKUJUA:sehemu ya tatu Mwandishi:shamsi shabani Ilipoishia.... Kabla sijamjibu ili bidi nijiulize... Sawa nitampeleka je ana nauli??? au wanafahamiana na hao madereva??? au ana ndugu huku??? lakini Kama ana ndugu huku siangenda huko na si kwangu ...... JIMWAGE NAYO SASA...
  2. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    SIKUJUA:sehemu ya pili, Mwandishi:shamsi shabani ******** Ilipoishia.....alikuwa ni msichana mrembo sana ila kutokana na hali niliyomkuta nayo usingeweza kulitambua hilo..basi kwakuwa nilijua nimpita njia mwenzangu tu kama Mimi.. Niliendelea kupiga hatua nikisogea ,lakini kabla...
  3. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Asante sana kwa ushauri wako.....[emoji120] [emoji120]
  4. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Nashukuru I will...
  5. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Asantee sana
  6. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    "Arosto" naomha nieleweke hivo hivo.....
  7. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Tutafika tena salama....nashukuru kwa mawazo yako
  8. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Inaendelea ata usijali...
  9. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Asante kwa wazo lako.... Linafanyiwa kazi
  10. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Usijaali.
  11. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Naombeni comments maana ni kazi yangu ya kwanza please!!!!!!!!!!
  12. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania Hii ndio audio ya wimbo wangu wa krismas "Shangilieni"

    Duuuh
  13. shamsi shabani

    JamiiForums Tanzania SIKUJUA: sehemu ya 01.

    Nilijikuta sina la kufanya katika wakati ule mgumu nikiwa mpweke Kitandani macho yangu yakiangalia mwanga wa jua ulio penya katika tundu la paa lililochoka na kurusu mwanga kupita kila sehemu ya chumba kile kutokana na paa hilo kuwa na vidirisha vidogo ambavyo viliifanya chumba kuwa na Giza ata...
Back
Top Bottom