Recent content by Shaksi Msovieti

  1. S

    Kabila la Wakutu (kutoka Morogoro)

    Wakutu wameshajichukulia kama kabila ila kiuhalisia wakutu ni Waluguru wa bondeni ambao ndio wametoa wazaramo. Wazaramo wengi wanalijua hilo kuwa asili yao ni ukutu, na wakutu nao wanalijua hilo kuwa asili yao ni Uluguru. Wakutukila kuhisi, ni kiluguru kikimaanisha wamedondokea bondeni. Na ndio...
  2. S

    DOKEZO Kuna kijiji wilaya ya Magu wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi 36,000 ndipo usajiliwe

    Habari JamiiForums. Naomba msaada, mimi ni mgeni katika kijiji fulani, wilayani Magu Mkoa wa Mwanza. Katika kijiji hiki kuna utaratibu kwa wageni wanaoingia kuishi kama wapangaji kulipa fedha za kiingilio kiasi cha shilingi elfu 36 ndipo usajiliwe ama ujiunge kama mwananzengo na utambulike...
Back
Top Bottom