Recent content by Shady782

  1. S

    JamiiForums Tanzania Nimeambiwa na wazazi wangu nioe. Ila Nina 23.miaka

    Jana nmekuja kuwapa hai wazee wangu kama kawaida ni muda kidog umepita sasa katika kupiga stoli mother akaniambia mwanang mbona umekonda sana nikamwambia Amna mama kawaida akadai hapana sio kawaida mim nikamwambia maisha tuu mama akadai inabidi uoe inawezekana majukum hamekuzid mzee nae...
  2. S

    JamiiForums Tanzania Kuoa sio kazi shida mahari. Mnazo tupimia vijana nyie wazazi muwage. Mnafikiria

    Sio mbay dawa ni kuwazalisha tuu. Mbona mtaelewa
  3. S

    JamiiForums Tanzania Kuoa sio kazi shida mahari. Mnazo tupimia vijana nyie wazazi muwage. Mnafikiria

    Wazee, ipo hivi; kuna vijana tunahitaji sana, tena sana, kupata familia au kuanzisha familia na wenza wetu tunaowapenda. Shida inaanzia pale mzazi, yaani mkwe, unaponipimia mahari kama vile unanikomoa. Yaani sijui huwa mnafikiria kiukweli au huwa mnaamua tu kuropoka. Mnatufanya tuendelee kuwa...
  4. S

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 23 nimechoka kuwa single nataka kuoa

    Mmh dad eve were
  5. S

    JamiiForums Tanzania Je, nimchukie mama au binamu yangu? Nitaanzaje kumuita binamu baba?

    Basi bana IPO hivi ilikua 2013 ambapo tulikuja tunaishi mbeya nzovwe kipindi hiko nakumbuka walikuepo akna bamdg 2 kutoka malawi walikuja kujitafuta kimaisha mwisho wa siku wakapata vijisenti wakajitegemea sasa mzee ana sister ake anaishi nae malawi kwasab ndugu zangu wengi kwa asilimia kubwa...
  6. S

    JamiiForums Tanzania Je, nimchukie mama au binamu yangu? Nitaanzaje kumuita binamu baba?

    Guys IPO hivi naitaji kushare stori yangu na nyie kwasababu ya mengi kujifunza ndani yake that's true story sio joke nashindwa kuelewa niendelee kumchukia mama au niwachukie wote binamu na mama kwasababu siwezi kumuita binamu baba never story yangu inaanzia 2013 mpaka now mkiwa tiali mtaniambia...
  7. S

    JamiiForums Tanzania Nina miaka 23 nimechoka kuwa single nataka kuoa

    Mimi nina miaka 23, napiga kazi za uashi. Sasa kuna muda narudi nyumbani nimechoka, sijaoga, nafika nipo tired kinoma, sijapika. Yaani inaniboa sana. Hata nikinunua vya kupika ili nikapike getto, nikifika labda kiberiti hamna, naamua kwenda kula mgahawani. Hii hali imenichosha sana. Kuna muda...
  8. S

    JamiiForums Tanzania Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    😂😂😂
  9. S

    JamiiForums Tanzania Huyu Binti naoa wiki hii hii sitaki nimeshindwa vumilia

    IPO hivi Kuna Binti nkutana nae kwenye gari muda natoka job sasa the way alivo alinivutia sana mwamba sikusita nikaomba namba nikampanga freshi. Kilicho nishangaza hakuonesha dalili za kutaka kukataa labda kama nilivozoea Yani tayari tumeshazoeana mpaka sasa anakuja mpaka getto kupika. Mimi...
Back
Top Bottom