habari wana jamii forum.. nina simu yangu huawei y530 ilikuwa inafanya kazi vzr ila kwa sasa haionyeshi kabisa mtandao (network). yaani kwa maana hiyo sipatikani, mtu akinipigia hanipati hewani. nikitaka kutumia internet ni mpaka niconnect na wifi.. naomba kuuliza nawezaje kuirudisha ili iweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.