Usiku wa kuamkia leo hali ya hewa ilikuwa siyo nzuri kutokana na Radi kal zilizotawala masikioni mwa wakazi wa wilaya hiyo pamoja na giza nene lililotanda cha kushangaza hakuna mvua iliyonyesha tulichoambulia ni manyunyu tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.