Recent content by Shacks John

  1. S

    Hali ya hewa Wilayani Rombo

    Usiku wa kuamkia leo hali ya hewa ilikuwa siyo nzuri kutokana na Radi kal zilizotawala masikioni mwa wakazi wa wilaya hiyo pamoja na giza nene lililotanda cha kushangaza hakuna mvua iliyonyesha tulichoambulia ni manyunyu tu.
  2. S

    hii ndio picha yangu kama nilivyohaidi kuiweka wik hii

    wap ww mchumba tena mrembo kabisa
  3. S

    Dr. Slaa, mbowe, wanachama and the top management

    Pumbaf xana ina maana mnaleta mambo ya kizamani?? M2 akifanya kosa aadhibiwe.
  4. S

    Zitto live radio clouds

    Mawasiliano yanazingua huku Arusha hatuwasikii vizuri.
  5. S

    Zitto Sio wa Muhimu Kiasi Hicho

    Acheni u ccm nyie ppo.
  6. S

    Je Babu Seya anayo nafasi nyingine hukumu yake kupitiwa tena?

    Kwa mungu yote yanawezekana pengne wanahofia kuwa wakiwaachia weng wataangamia xana xana walioshurutshwa kutoa hukumu ya kes batili.
  7. S

    Zitto na Kitila wavuliwa vyeo vyote ndani ya CHADEMA

    Mi naamini ZITTO KABWE Bado ni jembe lets waite and see what next acheni kuchonga xaana.
Back
Top Bottom