Recent content by Shabimbili

  1. S

    CCM yanguruma Busanda; Wapinzani chali!

    Busara na elimu bado i nahitajika, heri ya busanda japo makao makuu wameibuka na upinzani, japo sijawa updated, inakuwaje Dar, jijini majimbo yote yalienda CCM?
  2. S

    JF Exclusive: Ka-Nzi kwenye kikao cha kampeni ya CCM, Busanda!

    Nawashauri viongozi wa juu wa upinzani wagombee ubunge 2010 ili kuimarisha nguvu ya upinzani bungeni. Tatizo kila mmoja anataka awe rais ndio maana tunakuwa na imani haba kwao. aungwe mkono mmoja, wengine wapandishe nguzo ya ubunge. Or else tutaona nao tamaa tupu!
Back
Top Bottom