Angalia kiwanda cha tumbaku morogoro kilikua kinazalisha ajira nyingi tu lakin sasa kipo wap sio labda tumbaku hailimwi tabora hapna wamiliki wa kiwanda wamefunga maana utitili wa kodi umeshinda
Kiukweli meco hajali maisha ya watu watu wanao msapot ni wale wanao nufaika nae tena wachache sana
Meko hana huruma kabsa wala utu we angalia kilichotokea bukoba watu wamepta majnga yy anajidai eti silet msaada wowote kwe huo ni ibinadam kwel hapan sio haki roho iliniuma san
Alichosema lema ni ukweli dpp yy ndio amaekua muamuzi wa mwisho yy ndie aamue kesi ipo au haipo au nikuachie huru baada ya kukaa magereza miaka
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.