Dah! Nimesoma habari hii pamoja na kwamba mi huwa mgumu wa kulia lakini machozi yamenitoka. Inauma sana, inasikitisha sana na inatia hasira sana. Ni ngumu kuamini kama askari wetu wamefanya mauaji ya kinyama kiasi hicho. Nchi za wenzetu askari anapigwa picha huku askari akiwa ameweka mtutu wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.