wadau naombeni mwenye kujua mahali zilipo kampuni zinazojihusisha na G.I.S kwa hapa dar zilipo? nnazozijua hata 5 hazifiki hivyo naomba mwenye kuzijua mahali zilipo anitajie.
mmh! inaudhi na kukera kama mtu maisha yako uliwekeza sana kwenye elimu ili baadae ikulipe lakini expectation inakuwa siyo kabisa! ila amini ipo siku MWENYEZI MUNGU atasema yes!! amini hivyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.