Recent content by sfm

  1. S

    Utumishi hii sio fair kabisa

    ni kweli kabisa mimi nilikuwepo na ni mmoja kati ya walioshiriki. Tulipiga written pale cbe watu kumi na sita then tukaitwa watu tisa. Wakati tunasubiri kuingia oral yule jamaa wa utumishi akatuuliza hv* MMEMUONA MSHINDI WENU* tukasema hapana. Baadaye tukaona anakuja jamaa ambaye hakuwepo kwenye...
  2. S

    KATAVI- Kituo kipya cha kazi! naombeni ushauri

    nashauri aende akafanye kazi. Kwa mshahara wa tgs D ataweza kujikimu huku akiendelea kuangalia fursa zingine.
  3. S

    KATAVI- Kituo kipya cha kazi! naombeni ushauri

    mi nashauri aende tu akafanye kazi. Kwa mshahara wa Tgs D utamuwezesha kujikimu huku akiendelea kucheki fursa zingine.
Back
Top Bottom