Recent content by Seventh 12

  1. S

    Msoga Gang & Opposition Leaders, you guys should stop the demonization of our Late beloved President John Pombe Magufuli

    Nataman kiandika kitu kizito ni kikumbuka tu makam mwenyekiti chama cha m ni kanali ambae ndo mwizi mkubwa na mratibu mkibwa wa wizi akishirikiana na gang ulilolitaja naishia kusema t RIP JPM
  2. S

    CCM mtatumia turufu miradi ya Hayati Magufuli mpaka 2030!

    Ni kweli hawawezi kufanya kwani dr wa sasa hivi wamekopa tr ngapi na spidi ya miradi vinaendana?? Siyo kila mtu anaweza kutekeleza ilani kama wangekuwa wanatekeleza ilani tz ingekuwa mbali mno kwa hyo jpm ni wakuheshimu saana
  3. S

    Sukuma Gang is Real: Waanza kumtisha Rais Samia, wamtumia Msukuma kudai mkoa wa Chato kinguvu

    Tanzania haiwez kuendelea mbele tukiwa na watoto wa kiume wenye element za kidada kama wewe kama hko kanda ya ziwa kweli mwambie hatumpendi kweli kweli na yeye anajua maana kila mikutano ya kanda ziwa anaambulia watt wa shule na kwakulazimishwa na walimu hivyo hatumpendi kwa sababu zifuatazo...
  4. S

    CHADEMA tubuni dhambi ya kushangilia kifo cha Magufuli ndiyo mje Mwanza

    Sema wanakuja wakati ambae bibi tozo ni zaidi ya zelesky maana yake mwanza hawampendi kuliko alie shangilia kifo cha mtukufu magu kwa wao waje lakni watembeleee mle kwenye hoja za mzee baba wakija na upumbavu wao wa katiba cjui nini hatutawaelewa wakati mchele kilo 3000, maharage kilo 3700
  5. S

    Je, ikitokea Hayati Magufuli kafufuka nini kitatokea?

    Kwanza kabisa nadhani anaanza na huyo mama yenu, pili ana mwambia majaliwa umekubali kuwa sehem ya hawa wahuni kama makam mwenye kiti, tatu anamwambia nchemba nenda singida, nne kamba ,anatenguliwa , tano, mama yenu atapelekwa ubalozini Madagascar Madagascar hahahahahah hahahahahah
  6. S

    CCM, Angelina Mabula na Stanslaus Mabula, hizo nyumba zilizouzwa na Jiji la Mwanza zinaenda kuwa ajenda ya kwanza ya wapinzani. Mtatikiswa!

    Kwanza kabisa CCM nyamagana hamna chenu regardless nan atasimama CDM kuanzia huyo mnae muita mama yenu kwa sababu kuu mbili , mosi suala la machinga mpaka sasa linawala wananchi wengi kufuatia mnyororo wake na kuthibitisha hilo hakuna mkutano ambao huyo b mkubwa wenu ambao alishafanya mwanza...
  7. S

    Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

    Wenye furaha ni wale wote wanaofaidika na uchawa, uuzwaji wa wanyapori, na wanasiasa wote wenye mlengwa wa kufaidika na 10% ya mikopo ya serikali lakini hakuna mwananchi ambae ana furaha
  8. S

    Chawa wa mama yazinduliwa Rasmi

    Ni kweli hamjitambui zama hizi mnaendesha nchi kwa mipasho wakat kila kona wananchi wana makasiriko miyoni mwao dhidi ya maisha yalivyo magumu alfu mnabinuabinua viuno hapo et machawa wa nani????
  9. S

    Sophia Mjema ateuliwa kuwa Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM

    Wangapi humu tunaweza kuanzisha chama cha siasa maana naona hakuna mawzo mbadala ya kitaifa zaidi ni siasa za chumia tumbo na pia ni walewale tu wanazunguka kwenye mfumo wa wizi, undugu, ukanda, na kwambaaali ukichunguza kuna udini
  10. S

    Putin ajisahau na amuwakia waziri hadharani, jamaa ana msongo sana

    Kaka kule urusi hapigani na Ukraine anapigana vita ya tatu ya dunia yaan Nato na washirika wake just imagine mpka sasa marekani kashatumia zaid ya budget ya urusi ya kijeshi ambayo inakadiliwa zaid ya usd 230m lakini mpaka sasa wanakula kichapo tu na sasa wanapanga kutumia biological weapons...
  11. S

    Putin ajisahau na amuwakia waziri hadharani, jamaa ana msongo sana

    Ivi nyie mnaongelea Putin gani ?? Mtu kawafuata kwao na bado anawabonda, Yule mwanaume wa shoka kweli kweli na anawabonda kweli na lile kundi lake la Wagner linaendelea kuwabonda t sasa nyie mbaongelea Putin gani
  12. S

    CHADEMA watakuja na sera ipi mpya kwenye mikutano yao?

    yaan atakae kuja na sera za mzee baba atababa saana kama ,rushwa, uzembe makazini, na mambo kama hayo lakni katiba kila uchwo huku vijijini hawali katiba wanataka mahindi debe 15000 mchele kilo 1200 siyo katiba
  13. S

    Hayati Magufuli, kama sio leo basi ni suala la muda tu kupewa tuzo ya heshima kama Rais aliyesimamia vema rasilimali na kupunguza kero kwa wananchi

    To be honest huyu mama yenu alianza kuzingua tu baada ya teuzi zake na hata suala la chakula kazingua JPM alifunga mipaka chakula kikajitosheleza leo hii kitini 6000/= na umeme wanafungulia maji mtera ionekane kuna upungufu wa maji maana mwaka huu hakuna ukame kama ule wa mwaka 2015_2016 ambao...
  14. S

    Makosa makubwa matano ya mwanzo ya kisiasa ya Rais Samia ambayo yanamgharimu sasa

    Huyu mama yenu alipokwamia ni kuwarudisha kazini kinana na makamba sana sana kinana ni mafia saana yule mzee
Back
Top Bottom