Mambo hayo ya ukiukwaji wa katiba hasa ndiyo yalisababisha. Hadi kufikia mwaka huu, ukiukwaji huo umeongezeka zaidi, lakini nguvu ya kudai Tanganyika imezidi kuwa dhaifu, hasa kwa sababu hakuna aliyeko mstari wa mbele waziwazi, wengi wanajificha nyuma ya rasimu ya Warioba, na wamesababisha...