Daaaaah Mkuu shukran saan Haya ni Madini umetoa kaka🙏🙏🙏,,, lkn samahan nilikuw nakuomb nikusumbue kdg ujazie Nyama kuhusu Hii biashara ya Kununua hizo vitu TV na Freezer. Vp mtaji kikawaida nianzie kias gan? Tupatie hata A,B,C kdg ishu za malipo ya Kodi na usafirishaj kwa ujumla🙏🙏🙏🙏
Kiongozi samahan naomba msaada kidg mim nataman kufanya Biashara ya Kuuza mchele maeneo ya Zambia maana mim ni mkulima Nalima mchele na Mahindi nlikuwa nataka kupata information kuhusu mfumo wa biashara hii kwa upande wa Zambia msaada tafadhar boss Wang🙏🙏🙏
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.