Saw ni rahisi ila kwa mwezi ni Tsh 28,000 na vicent kadhaa
Sasa bora kipi sjui kulipa tsh 3000 au tsh 28,000 kwa mwezi
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mzee tuishie hapo kama nimekukwaza kwa namna moja ama nyengine naomba unisamehe mm ni binaadam sio mkamilifu pengine nimekukosea maana kumbe nimegundua mjadala haukuwa kuelimishana...naomba msamaha wako[emoji120]
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Shida yako ni majina,...kwahyo ulizan nauza zile moded apa kina terrarium au?[emoji2][emoji1][emoji1787]
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hehehuhuhhu Afu weee jamaa wee nilizani una point za msingi kumbe unazungumzia ku download movie torrent,
Kwahyo apo ndo umearibu?[emoji16]
Binafsi iyo sjaona sababu unazan ao wanaolipia $11.99 kwa kila mwez hawajui kama kuna torrent?
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Na nikwambie tu mzee ukija kwenye swala la data tulio wengi 2natumia night bundle kusha movie sio wote wanao2mia bando za kawaida kudownload movie
Ttcl tsh 1000 unapata 10gb
Halotel tsh 1500 unapata unlimited data
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
I say watu bana maana ata sijaona kabsa ni point yako kuu asa maana kama kutumia netflix inahitaji data inaeleweka....movie pekee usotumia data ni zile anazoleta mtaani kina dj mark
Mzee hii ndo faida ya ultra hd account,kwa wakt mmoj wanatizama
Na ukija kwenye swala la kunigharibia hunigharibii kwa sababu hizo basic ni nafuu zaid nimeweka ultra hd plan kwa sababu itakuwa kivutio kwa wengi la kama una suggest basic palan ni bora zaid pia ni bora kwangu
Ni shajibu hiyo mzee ni kupata faida ya ku share acount nakuweza kutumia 4 people kwa wakt mmoja na faida yake kubwa,anyway hata hiyo basic mtu akiitaji atapatiwa maana nikiupande flani ni bora kwangu pia
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Hiyo Ultra plan ina faida ya kutumia account 1 watu wa 4 kwa wakati mmoja,ndo faida kuwa na ndo maana ni plan ambayo imepewa kipaumbele na wengi na si kwa resolution pekee na s wote wanaotumia hiyo plan kwa ajili ya resultion just ni kwa ku share,kusaidiana ghrama
Sent from my SM-G965U using...
Mzee kuwa ultra hd plan,haina maana kama inatoa high resolution pekee (4k) inaanzia 480p resolution
4k ni faida ya hiy plan kama unaitaji 4k
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Haina haja ya acount ya benki yote ni juu yangu,ww ni
-Tsh 3000 yako baada ya kazi kukamilika
-Number yako ya sm incase umesahau pasword ili uweze kurudisha password au m2 kai dukua vitakusaidia kuirejesha
Sent from my SM-G965U using JamiiForums mobile app
Mzee haiko kama hivyo unavyozani
Ku stream au ku download unachagua ww mwenyewe quality unayo hitaji kulingana na uwezo wako wa bando
Bali ultra HD plan ina faida ya kutumia watu wa 4 kwa kila acount na wote wakawa na uwezo wa ku stream kwa wakti mmoja
Sent from my SM-G965U using JamiiForums...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.