UKIOA KUWA MWANAUME SIMAMA KAMA MWANAUME HAKIKISHA UNAISMAMIA FAMILIA YAKO.
KUWA NA MAAMUZI THABITI
SASA UMEOA UMEAMUA KUCHEPUKA KWA STAREHE ZAKO UNAENDA UNASAHAU FAMILIA HUITUNZI HUISAIDII KWA CHOCHOTE MWANAMKE ANAAMUA KUSIMAMIA KWA NAFASI YAKO UKIRUDI UNADHANI NI RAHISI KUSIMAMA TENA KAMA...
Kumbuka ni mkataba na anaweza kosa renewable.Aende kwenye 900k anapata mkataba permanent then anarudi zake TARURA bila mkataba wa Masimango.Na ni rahisi kwa kuwa zote ni taasisi za Umma
Story yako inahuzunisha ila pia inamafundisho sana.Ila kilichokuja kukuangusha ni mahusiano(wanawake).Pole sana.
Wewe ni mpambanaji sanaaa.
Ushauri wangu uko ulikohamia angalia fursa ya biashara ya fani yako,Kwa sababu kupitia story yako unaifanya vizuri sana,deal with your passion.Kikubwa...
Ni kozi nzuri tu,kwa experience kidogo niliyonayo unaweza kuajiriwa au kujiajiri(Tanesco,Idara ya Maji,Manispaa,TFS,TRA,NBS) na bado ni wachache.Wengi waliopo wana masters na short course.Kila lenye heri.
Habari wana Jamii forum Mafuta halisi ya parachichi yanapatikana kwetu.
Yanasaidia kuondoa miwasho mwilini na kwenye nywele
Yanatibu vidonda
Yanafifisha michirizi
Yanakukinga usiungue na mionzi ya jua(ukipaka hausikii kama jua linakuchoma)
Bidhaaa asili ya kitanzania
Bei zetu ni hizo
Mls...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.