Sawa kesho njoo msibani
We ukiomba ushauri humu mbona hawakujibu ujiue?
Miafrika ndivyo tulivyo.
https://www.jamiiforums.com/threads/nikila-najingata.1595741/#post-31833871
Naomba wataalamu wanijibu kitaalamu ni husababisha kujing'ata wakati wa kula , kuanzia jana najing'ata mara kwa mara...
Asante kwa ushauri boss.
Kuhusu kubanduana siwezi kulisemea sana, but yule jamaa ni swala 5 na process kaanzia kwao mke, mke kaja kuambiwa na wazee wake kwamba kuna jamaa anakuhitaji, sasa hapo ndio akaja kunishirikisha, kama binadamu niliona aolewe tu, nadhani hata kama ningekataa still...
Huwezi kuelewa boss.
Kuna mambo yule mwanamke kanifanyia mpaka home mpaka siwezi kuandika humu.
Huwezi kuelewa nilivyokua nikiishi nae, kama uliwahi kufiwa na rafiki au mtu wako wa karibu unaweza kuelewa vinginevyo utabaki kunitusi na kunikejeli tu
Habari zenu wadau wa Jamiiforums.
Ni mara yangu ya kwanza kutuma ujumbe wenye maudhui kama haya hapa jukwaani.
Naomba mnipe ushauri jinsi ya kukabiliana na stress zinazonikabili.
Suala liko hivi; mwaka jana Oktoba mpenzi (mchepuko) wangu alipata mchumba akaja kuniuliza nikubali au nikatae...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.