Recent content by sepema

  1. sepema

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Ndo niende makao makuuyao au hata nikiwatumia hawa wakufunzi wakazi wa mikoani(centers)
  2. sepema

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Mwanzo nilikuwa naomba kwa ku create transfer vacancy ikawa inagoma kwa kuandika "not budgeted", ila baada ya kupitia uzoefu wa watu humu nika delete ile transfer nakuomba kupitia normal transfer naona imekubali kwenda. Ngoja nijaribu kusikilizia
  3. sepema

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    ukiwa mwajiriwa mfumo wa ajira portal unakataa mkuu
  4. sepema

    JamiiForums Tanzania Wataalamu wa kipengele cha uhamisho ndani ya ESS naombeni msaada mnivushe hapa

    Hapa pananifaa kwani naona wazoefu mpo tena mko serious kwenye kusaidia. Mimi nimekutana na not budgeted kila ninapojaribu ku submit vacancy transfer. Ubaya wakati mwingine naona taasisi husika imetoa nafasi za ajira kupitia ajira portal na sifa wanazohitaji ninazo ila kwenye ESS inagoma.Hapa...
  5. sepema

    JamiiForums Tanzania WALIMU: Kwa wale wanaotaka kubadilishana vituo vya kazi

    Mwalimmu wakubadilishana aje Morogoro DC niende Mwanga,Same au Moshi. Elimu msingi
  6. sepema

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kiutumishi tafadhali

    Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development. Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo...
  7. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Asante mkuu
  8. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Kuhusu sifa huwa nakuwa nazo kulingana na kazi iliyotangazwa mkuu. Qualifications nimejaza zote kwa usahihi kwani kuna jamaa anautaalamu wa hizo mambo alizipitia na kujiridhisha kuwa zipo sawa.
  9. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Iko hivi, niliajiriwa serikalini na diploma. Nimeenda kusoma bachelor ya kitu kingine tofauti na ile diploma. Ninachotaka nikuhama taasisi ya zamani kwenda nyingine kupitia hii degree
  10. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Ndio mkuu. Nafasi ninazoomba ni zile ambazo wanaruhusu hata aliyeajiriwa kuomba kwa sharti la kupitishiwa barua na mwajiri wake
  11. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    changamoto nikwamba mfumo unakataa kwenye hatua za awali kabisa. Yan ile nikiminya tu neno "apply" inaniandikia Failed
  12. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Asante mkuu,
  13. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa...
  14. sepema

    JamiiForums Tanzania Yesu akamwambia, mbona unaniita mwema?

    Amani ya Bwana iwe juu yenu. Leo katika kusoma soma biblia nimekutana na maneno hayo hapo juu yakanitatiza kidogo. Nikutoka kitabu cha Luka 18:18-19. Natamani kujua kuwa Yesu alijipima kwenye mambo gani akajiona hata yeye sio mwema zaidi ya Mungu?. Tunajua aliishi maisha ya kibinadamu hapa...
  15. sepema

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Kujiua niudhaifu mkuu. Kwamba wew madeni yanakutesa kuliko yule mgonjwa mwenye zaidi ya miaka miwili kitandan akihudumiw kila kitu? Wanaokudai ni watu ambao pia nao wanadawa kwenye mizunguko yao ya maisha(deni sio pesa tu). Kaa na kila anaekudai mweleze changamoto unazopitia.Majibu yao kwako...
Back
Top Bottom