Mwanzo nilikuwa naomba kwa ku create transfer vacancy ikawa inagoma kwa kuandika "not budgeted", ila baada ya kupitia uzoefu wa watu humu nika delete ile transfer nakuomba kupitia normal transfer naona imekubali kwenda. Ngoja nijaribu kusikilizia
Hapa pananifaa kwani naona wazoefu mpo tena mko serious kwenye kusaidia. Mimi nimekutana na not budgeted kila ninapojaribu ku submit vacancy transfer. Ubaya wakati mwingine naona taasisi husika imetoa nafasi za ajira kupitia ajira portal na sifa wanazohitaji ninazo ila kwenye ESS inagoma.Hapa...
Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development.
Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo...
Kuhusu sifa huwa nakuwa nazo kulingana na kazi iliyotangazwa mkuu. Qualifications nimejaza zote kwa usahihi kwani kuna jamaa anautaalamu wa hizo mambo alizipitia na kujiridhisha kuwa zipo sawa.
Iko hivi, niliajiriwa serikalini na diploma. Nimeenda kusoma bachelor ya kitu kingine tofauti na ile diploma. Ninachotaka nikuhama taasisi ya zamani kwenda nyingine kupitia hii degree
salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa...
Amani ya Bwana iwe juu yenu. Leo katika kusoma soma biblia nimekutana na maneno hayo hapo juu yakanitatiza kidogo. Nikutoka kitabu cha Luka 18:18-19.
Natamani kujua kuwa Yesu alijipima kwenye mambo gani akajiona hata yeye sio mwema zaidi ya Mungu?.
Tunajua aliishi maisha ya kibinadamu hapa...
Kujiua niudhaifu mkuu. Kwamba wew madeni yanakutesa kuliko yule mgonjwa mwenye zaidi ya miaka miwili kitandan akihudumiw kila kitu? Wanaokudai ni watu ambao pia nao wanadawa kwenye mizunguko yao ya maisha(deni sio pesa tu). Kaa na kila anaekudai mweleze changamoto unazopitia.Majibu yao kwako...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.