Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development.
Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo...
Kuhusu sifa huwa nakuwa nazo kulingana na kazi iliyotangazwa mkuu. Qualifications nimejaza zote kwa usahihi kwani kuna jamaa anautaalamu wa hizo mambo alizipitia na kujiridhisha kuwa zipo sawa.
Iko hivi, niliajiriwa serikalini na diploma. Nimeenda kusoma bachelor ya kitu kingine tofauti na ile diploma. Ninachotaka nikuhama taasisi ya zamani kwenda nyingine kupitia hii degree
salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa...
Amani ya Bwana iwe juu yenu. Leo katika kusoma soma biblia nimekutana na maneno hayo hapo juu yakanitatiza kidogo. Nikutoka kitabu cha Luka 18:18-19.
Natamani kujua kuwa Yesu alijipima kwenye mambo gani akajiona hata yeye sio mwema zaidi ya Mungu?.
Tunajua aliishi maisha ya kibinadamu hapa...
Kujiua niudhaifu mkuu. Kwamba wew madeni yanakutesa kuliko yule mgonjwa mwenye zaidi ya miaka miwili kitandan akihudumiw kila kitu? Wanaokudai ni watu ambao pia nao wanadawa kwenye mizunguko yao ya maisha(deni sio pesa tu). Kaa na kila anaekudai mweleze changamoto unazopitia.Majibu yao kwako...
Habari wakuu.
Hili jambo la kununua umeme halafu wanakata pesa bila kukwambia ni deni gani na ni kiasi gani, kwenu limekaaje?
Nimenunua umeme wa shilingi 2,000, lakini nimepewa umeme wa shilingi 409 tu, halafu shilingi 1,500 imeandikwa debit collection.
Tuseme ni ile kodi ya majengo. Sasa kwa...
Athari zake zitakuwa kwenye familia na jamii inayonufaika na jasho la Mgunda.
Bado wa Tanzania tunaishi maisha ya kumtemea mjomba, shangazi aliyepo Daithalamu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.