Recent content by sepema

  1. sepema

    JamiiForums Tanzania Msaada wa kiutumishi tafadhali

    Salaam wakubwa.Ushauri unaombwa kwa mwalimu wa tgts E ambaye nina bachelor ya Education in Adult Education and community development. Kwanza naomba kujua iwapo bachelor hii inakubali kubadilishiwa muundo kwenda maendeleo ya jamii. Kama inafaa naomba kujua fursa zilizopo huko kwenye maendeleo...
  2. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Asante mkuu
  3. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Kuhusu sifa huwa nakuwa nazo kulingana na kazi iliyotangazwa mkuu. Qualifications nimejaza zote kwa usahihi kwani kuna jamaa anautaalamu wa hizo mambo alizipitia na kujiridhisha kuwa zipo sawa.
  4. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Iko hivi, niliajiriwa serikalini na diploma. Nimeenda kusoma bachelor ya kitu kingine tofauti na ile diploma. Ninachotaka nikuhama taasisi ya zamani kwenda nyingine kupitia hii degree
  5. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Ndio mkuu. Nafasi ninazoomba ni zile ambazo wanaruhusu hata aliyeajiriwa kuomba kwa sharti la kupitishiwa barua na mwajiri wake
  6. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    changamoto nikwamba mfumo unakataa kwenye hatua za awali kabisa. Yan ile nikiminya tu neno "apply" inaniandikia Failed
  7. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    Asante mkuu,
  8. sepema

    JamiiForums Tanzania Naomba msaada Ajira portal

    salaam wakuu. Nimefungua akaunti ya ajira portal tangu mwaka jana, taarifa zote muhimu(CV)nimeweka na imekamilika kwa asilimia 98. Changamoto nipale ninapotaka ku apply nafasi za kazi inaniandikia *Failed" na maneno flani chini yake. Kuna mtaalamu nilimshirikisha akadai inatokana na mimi kuwa...
  9. sepema

    JamiiForums Tanzania Yesu akamwambia, mbona unaniita mwema?

    Amani ya Bwana iwe juu yenu. Leo katika kusoma soma biblia nimekutana na maneno hayo hapo juu yakanitatiza kidogo. Nikutoka kitabu cha Luka 18:18-19. Natamani kujua kuwa Yesu alijipima kwenye mambo gani akajiona hata yeye sio mwema zaidi ya Mungu?. Tunajua aliishi maisha ya kibinadamu hapa...
  10. sepema

    JamiiForums Tanzania Nimekata tamaa kwa madeni

    Kujiua niudhaifu mkuu. Kwamba wew madeni yanakutesa kuliko yule mgonjwa mwenye zaidi ya miaka miwili kitandan akihudumiw kila kitu? Wanaokudai ni watu ambao pia nao wanadawa kwenye mizunguko yao ya maisha(deni sio pesa tu). Kaa na kila anaekudai mweleze changamoto unazopitia.Majibu yao kwako...
  11. sepema

    JamiiForums Tanzania KERO Imekaaje unanunua umeme, TANESCO wanakata pesa bila kukwambia ni deni gani unakatwa?

    Habari wakuu. Hili jambo la kununua umeme halafu wanakata pesa bila kukwambia ni deni gani na ni kiasi gani, kwenu limekaaje? Nimenunua umeme wa shilingi 2,000, lakini nimepewa umeme wa shilingi 409 tu, halafu shilingi 1,500 imeandikwa debit collection. Tuseme ni ile kodi ya majengo. Sasa kwa...
  12. sepema

    JamiiForums Tanzania Ni ipi siri ya kufumba macho wakati wa maombi?

    Nadhan ukiomba gizani haina haja ya kufumba macho. Ingia chumbani kama ni usiku zima taa then omba utakacho
  13. sepema

    JamiiForums Tanzania Shetani hana akili. Anafaidika nini nikizini?

    Ohoo
  14. sepema

    JamiiForums Tanzania Hongera Simba kwa kumpa Mgunda timu kama Kocha Mkuu, apewe mshahara mnono na siyo kutumiwa kama njia ya kubana matumizi

    Athari zake zitakuwa kwenye familia na jamii inayonufaika na jasho la Mgunda. Bado wa Tanzania tunaishi maisha ya kumtemea mjomba, shangazi aliyepo Daithalamu.
  15. sepema

    JamiiForums Tanzania Nukuu toka kwa Rais Magufuli (QUOTES)

    Nawatakia Dominica njema. Iwe Dominica njema kwako pia.
Back
Top Bottom