Recent content by Separaman

  1. Separaman

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Ukiona mvi ujue busara ipo. Pia hana njaa Bali alitaka kutoa mchango wake kwa taifa hili. Hawezi kuoganaiz vurugu maana vurugu alizifanya kagera vitani
  2. Separaman

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Logic. Jk 1 yesu, rucser mud, benja jezas, jk 2 ara, -------- bw. Kwa orodha iliyobaki, no dhahili kuwa mzee alcohol ndiye mshimdi.
  3. Separaman

    GE2015 Yaliyojiri katika vikao vya CCM Dodoma - Julai 10-12, 2015. Magufuli achaguliwa kuwa mgombea Urais

    Shein yeye hana mpinzani urais serikali ya mapinduzi zanzbar. Ameshatangazwa kitambo. Spati picha ccm visiwan huku ukawa bara
  4. Separaman

    Msaada: Ugonjwa wa Mdudu wa kidole

    Chukua ute wa uchi wa mwananke asbh kabla ya kuinawisha, paka kidole bila kukichanja utapona
  5. Separaman

    Mahari na nafasi yake katika ndoa... Je, utamaduni huu umepitwa na wakati?

    Nilitoa mahari 1.2M na ndoa ikawa na migogoro kibao. Mbaya zaidi ukweni hawajanisaidia ktk masuluhisho. Mimi naona ni vema wanaume tuanze mgomo wa kutoa mahari Leo. Hakuna faida yoyote katika dunia ya 50 kwa 50.
Back
Top Bottom