Pole ila kama ni wakala mzoefu lazima uangalie muamala unaokuja katika simu yako maana una tarehe mwaka na mwezi pia. Na ukipokea msg sio unatoa pesa apo apo lazima usibiri uone mabadiliko huu wizi kweli upo pole sana jamani nikuwa makini ukiona kitu auelewi piga huduma kwa wateja wakuangalizie...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.