Habarini wadau,
nimejaribu kufatilia hii thread mana nafikilia kufanya hii biashara ya pweza wa vipande yaani mezani
kama ilivyo dar es salaam na sehemu nyingine.
kwasasa nipo songea sasa kuna maswali nakosa majibu naombeni msaaada wenu:
1. Bei ya pweza mmoja mwenye kilo 1 au 2 mbichi pale...
Habari wakuu,
Mimi ni kijana mpenda mabadiliko ambaye nimeamua kugeukia sekta ya kilimo na kujaribu kuwekeza humo.
Nimeanza mwaka huu kwa kupanda Mahindi na Soya kwa kilimo cha kisasa lakini bado nakuwa na maswali ya kujiuliza ninayokosa majibu maana kwa ushauri niliopewa ni kwamba nafaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.