Ukishaishiwa hoja unakimbilia vitu vya kijinga , niwe mtoto niwe ajuza kama wewe haiondoi ukweli. Utabaki kuwa mpinzani milele lazima tutamuongezea muda ili uzidi kuumia roho
Nimekasirika au nimekwambia ukweli? Wee ni mfuasi wa viongozi wa kiisilam anapokuwa mkristo lazima umpinge nani asiyekujua? Umejaa udini mpaka sehemu zako za siri. Kipindi cha kikwete hukuwahi kusema ikulu ni mali ya waislam lkn kwasbb aliyepo ikulu kwasasa si wa imani yako umethubutu kusema...
Kwani kipindi hicho alikuwa Ràis? Hakuuza kwa utashi wake ilikuwa ni utekelezaji wa maazimio ya baraza la mawaziri kama waziri wa ujenzi ....haina mshiko tulia tufanikishe mpango
Vyovyote vile bado huwezi kushindana na nguvu ya umma, watu woote kasoro wewe tu wanamkubali Rais wetu na hili lazima liwe ili uzidi kuumia roho fisadi wewe
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza , kila mwenye nia njema na Taifa hili anaelewa Mh. Rais anavyoingoza Nchi. Ni Rais wa watu wote mwenye dhamira ya kweli kuleta maendeleo halisi nchini.
Mengi amefanya kwa muda mfupi na mengi yanaendelea kufanywa kwa maslahi mapana ya nchi yetu. Ningependa...
Hata mkijidanganya kumchukulia form nina wahakikishia uchaguzi ujao hamtapata hata viti vitatu vya ubunge, tunze haya maneno ..Magufuri ameshawamaliza kitambo mmebaki jina tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.