Hivi huyu Magufuli anayezungumziwa hivi hakuwa binadamu?
Mbona kila binadamu ana mapungufu yake, lakini pia wapo ambao Wana mabaya mengi kuliko mazuri Ila Magufuli mazuri ni mengi zaidi.
Na ukitaka kujua vizuri fanya research ndogo, uliza watu kumi wanamjuaje Magufuli,kwa hakika nane...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.