Recent content by sengobad

  1. sengobad

    JamiiForums Tanzania GE2025 Hatua zisipochukuliwa kuna hatari siku ya uchaguzi ikawa siku ya aina yake. Watu hawatajitokeza kupiga Kura hasa maeneo ya mijini

    Ukiwaona Ukiwaona walize na kwao ni wapi na watarudi na usafiri gani
  2. sengobad

    JamiiForums Tanzania GE2025 Kilosa - Morogoro: Wana-CCM wadaiwa kupata ajali wakiwa kwenye lori wakielekea kwenye mkutano wa Samia Suluhu

    Kampeni za mwaka huu hazina tofauti na harusi au msiba uliokosa utaratibu kila mtu anaongea tuu, mc hasikiki
  3. sengobad

    JamiiForums Tanzania Polepole: Harakati za kampeni za rais Samia zinaratibiwa na Abdul badala ya CCM

    Nenda slipway alikokutajia ujionee Kama Kamwaga alivyoenda ubalozi wa Cuba.
  4. sengobad

    JamiiForums Tanzania I wonder if you actually think they will hesitate to do it ? Tundu Lissu atanyongwa !

    Dah! Umeandika point tupu nikupe hongera kwa deep thinking
  5. sengobad

    JamiiForums Tanzania Ezekiel Kamwaga: Samia Suluhu anampenda sana Tundu Lissu

    Ni zaidi ya loss
  6. sengobad

    JamiiForums Tanzania Polepole anakabia juu. Mnoo, machawa wanakanyagana tu

    Hivi kweli kuna kampeni
  7. sengobad

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    Utaota mikutano na semina za waumini
  8. sengobad

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    Kwa vyovyote vile kuna issue ulijua tu inaweza kukuoereka polisi.
  9. sengobad

    JamiiForums Tanzania Leo nitawapa ishara moja kati ya ishara kadhaa ambazo utaziona pindi unapokaribia kufa

    Kwani wewe ulishawahi kufa, au uliwahi kuongea na aliyekufa akakwambia njia alizopitia?
  10. sengobad

    JamiiForums Tanzania GE2025 Ningekuwa CCM hata mniue siwezi kufanya REFORMS kamwe

    Hiyo ni kawaida utabana mwisho utaachia, ref: South Africa, makaburu walibana miaka mingapi, yupo mwanaccm itatokea atakuwa mcha Mungu wa kweli atasema sitaki hizi dhuruma na haya mauaji .
  11. sengobad

    JamiiForums Tanzania Mazungumzo ya Ndg. Polepole leo 31 Agosti 2025 na umma

    Fungua kesi mkuu, sio kukaa kimya na ulitakiwa kutoka nje kupiga kelele mpaka akamatwe mwizi wa mali za taifa ila bado hujachelewa.Kuna jamaa alimuuliza hakimu hivi wewe hakimu unanihukumu kwenda jera miaka yote hiyo kwani wewe hujawahi kukosea? Na wewe hauna tofauti na huyo jamaa.
  12. sengobad

    JamiiForums Tanzania Polepole anapotosha sana, Magufuli wakati akiwa Chato, tayari alikuwa hayupo sawa kiafya

    Utakuwa umetokea masaki
  13. sengobad

    JamiiForums Tanzania Askofu Bagonza: Namwogopa mtu ambaye haogopi hali iliyopo nchini kwa sasa

    Mungu ana maajabu yake, hakuna aliyetarajia jpm ataondoka kama alivyoondoka malalamiko yalikuwa ni mengi sana juu ya kuminywa kwa haki za watu, tuwe wavumilivu Mungu atanyoosha njia na wote tutakuwa salama.
  14. sengobad

    JamiiForums Tanzania Wanaohoji utajiri wa Abduli mama wanapaswa kufikiri nje ya box

    Ikiletwa hoja ukumbini ukaona mtu amechomekea mambo ya dini situka jua huyo ni mtu maalumu kaja kwa makusudi kupunguza speed ya uzi na hao watu wapo humu kwa kazi hiyo na wanalipwa posho.
Back
Top Bottom