Punguza ubwege, mfano Rais hawezi kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyofanya akiwa madarakani je si katiba hiyo? Katiba ikiruhusu afikishwe mahakamani hauoni kuwa tutakuwa tumepunguza uwezekano wa rais kuzama kwenye ufisadi? Kwa sasa raus hata afanye kosa gani gata bunge haliwezi kumjadiri...
UWE NA ADABU UNAPOTAJA VIONGOZI WA KITAIFA husiharibu utu wako kwa vipande vya fedha unayolipwa. Ukweli nimesoma kichwa cha habari tu, nikasikia kichefuchefu.
TL yuko sahihi anapoona wagombea wanapesa za ajabu ajabu yawezekana yakawa ni mapandikizi ya ccm. Na ukajikuta uongozi mzima wa mkoa ccm tupu, baadae yanajifaragua na kusema narudi ccm, kumbe yalitoka hukohuko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.