Recent content by sengobad

  1. sengobad

    Nini hatima ya Halima Mdee na wenzake baada ya bunge kuvunjwa?

    Uzushi, hata unachosema hsukijui.
  2. sengobad

    Anashindwaje kutoka hadharani na kuisafisha hali ya hewa? Amekubali yaishe?

    Ndio maana akanyooka yeye.
  3. sengobad

    Swali Kwa Chadema: Kama Katiba Mpya Inaondoa Ufisadi, Inakuaje Nchi Zenye Katiba Mpya Ufisadi Unaongezeka?

    Punguza ubwege, mfano Rais hawezi kufikishwa mahakamani kwa makosa aliyofanya akiwa madarakani je si katiba hiyo? Katiba ikiruhusu afikishwe mahakamani hauoni kuwa tutakuwa tumepunguza uwezekano wa rais kuzama kwenye ufisadi? Kwa sasa raus hata afanye kosa gani gata bunge haliwezi kumjadiri...
  4. sengobad

    Utoro wa wabunge bungeni tena bunge la bajeti, tatizo ni nini?

    Wana ruhusa ya wiki 2 kwahiyo posho ni kama kawa.
  5. sengobad

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kwani wewe unafikiri sisi hatujui kuwa unalipwa kwa kila unachoandika hapa.
  6. sengobad

    PPRA Kukosa Umakini: Kunahitaji miujiza ili mfumo mpya wa ununuzi NEST, ufanikiwe

    Watumishi ni wavivu na wanaona mfumo unaziba mianya ya rushwa, yaani ingewezekana hasa kwenye hizi Halmashari zingebinafsishwa akapewa DP world.
  7. sengobad

    Tanzania huwezi kuwa maarufu kisiasa kama hupambani na CHADEMA

    Wewe utakuwa ni PhD holder ya zamani.
  8. sengobad

    Mdomo wa Lissu haujawahi kuwa na adabu wala hekima

    UWE NA ADABU UNAPOTAJA VIONGOZI WA KITAIFA husiharibu utu wako kwa vipande vya fedha unayolipwa. Ukweli nimesoma kichwa cha habari tu, nikasikia kichefuchefu.
  9. sengobad

    Tundu Lissu atahadharisha uchaguzi ndani ya chama kuingiliwa na fedha za Rais Samia na mwanae Abdul

    TL yuko sahihi anapoona wagombea wanapesa za ajabu ajabu yawezekana yakawa ni mapandikizi ya ccm. Na ukajikuta uongozi mzima wa mkoa ccm tupu, baadae yanajifaragua na kusema narudi ccm, kumbe yalitoka hukohuko.
  10. sengobad

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Kwani haujui kuwa Zitto ni kibaraka wa ccm au unadanganywa na hizo rangi za bendera??
  11. sengobad

    Zitto Kabwe: Tanzania Bara (Tanganyika) inachukua 98% ya Mapato yote ya Muungano, Zanzibar inaambulia 2% tu

    Alivyo mbumbavu wala hasemi Tanesco inadai sh? Zanzimbar.Na wala hasemi ni wazanzibar wangapi wameajiriwa na serikali ya Tanganyika isivyo sawa.
  12. sengobad

    Tundu Lissu: Rais Samia anatumia picha zetu kujinufaisha kisiasa, tunamtaka ashushe mabango yote la sivyo tutamshtaki Mahakamani

    Anayefanya kazi ni serikali sio chama, na yapo majimbo yanaongozwa ccm toka uhuru mpaka leo lakn wananchi wake bado wana-share maji na Ng'ombe.
  13. sengobad

    Ni heri siku moja CCM ikakabidhi nchi kwa ACT kuliko kuwapa CHADEMA?

    Waliyemtuma kichwa kibovu, ccm imekosa waandishi kabsa
Back
Top Bottom