Mi sioni hata kama kuna haja ya kuzungumzia haya masuala kwani kila kukicha zinaibuliwa skendo za vigogo lakini serikali haichukui hatua tunazozitegemea sisi wananchi zinazimwa pasi kuelewa kwamba wanaoumia ni sisi walalahoi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.