Recent content by Senanjua

  1. S

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa ambao tayari wametumia hii bidhaa ya Vodacom naomba mtupe mrejesho.
  2. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hawa mbuzi nimewapa watoe goli moja ila mpaka sasa naona wanaruka ruka tu. Milan - Juventiu
  3. S

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Natumkia kifurushi cha 70,000 kwa airtel. Ila speed kwa sasa iko hapo japo kuna wakati inapanda juu. Nimefikisha gb 765 mpaka sasa. N Ila naona ofisini boss wangu ameielewa internet yake. Huwa nikifika tunatumia pamoja. Mwisho wa mwezi ananipa 100k kwa ajili ya kuweka kifurushi kingine. Mwezi...
  4. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Man City kapita na sadaka yangu ya kesho. Nilale tu kesho niwahi kanisani. Kwanza kubet haramu
  5. S

    Nunua bidhaa kutoka Mataifa 15 ikiwemo USA, UK, UAE na China sasa

    https://www.ebay.com/itm/175511487614?mkcid=16&mkevt=1&mkrid=711-127632-2357-0&ssspo=BwhpuBofTca&sssrc=4429486&ssuid=idbKvHKJRJa&var=&widget_ver=artemis&media=WHATS_APP
  6. S

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Tupeane hizo code za halotel. Inapatikana kwa bei gani?
  7. S

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Kwa hivi vilio vya hii mitandao mpaka unashindwa kujua ni mtandao gani wa kuruka nao.
  8. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mimi nilimwomba goli moja tu ila naona amekaziwa
  9. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Sio poa yani. Yani hapa akili ishayumba yani. Amezingua kinoma yani.
  10. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Daaah. Yani Dortmund hata goli moja limewashinda. Hii kazi ngumu kwa kweli. Ngoja nilale tu
  11. S

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hii ngoma ndio imetuua kabisa yani??
Back
Top Bottom