Natumkia kifurushi cha 70,000 kwa airtel.
Ila speed kwa sasa iko hapo japo kuna wakati inapanda juu.
Nimefikisha gb 765 mpaka sasa. N
Ila naona ofisini boss wangu ameielewa internet yake. Huwa nikifika tunatumia pamoja. Mwisho wa mwezi ananipa 100k kwa ajili ya kuweka kifurushi kingine. Mwezi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.