Jana akihojiwa katika kipindi cha michezo, Clouds FM, Msemaji wa Simba SC, Haji Manara amedai uwezo wa yule mkata umeme Sharaf Eldin Shiboub Ali Abdalrahman toka nchini Sudan ni sawa na uwezo wa wachezaji wawili, Chama na Kahata.
Namnukuu.. "Yule Shiboub achana nae bhana.. Nadhani Chama na...