Naskia inabidi ifanyike familia kwa familia..sio kabila jingine kwa jingine .jua tu alitekwa kwa kupigwa akijua haajui kitu...alipoona anashindwa jitetea akakubali kusurrender
Chanzo ni mgogoro ardhi .lakini wakat wako katika majadiliano likatokea kundi kubwa la wahuni wakiwa na bajaj na pikipiki wakaanza mpiga na kumwitta mchawi ..wakampeleka huko kwa huyo bibi ili anyolewe nywele..kwamba ukinyolewa nywele unakua huna nguvu tena za kuloga🙌
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.