Kumiliki kampuni ni dhabi TZ? Mbona babu yako mbowe Ana nyingi? Wezi wapo mahakamani tangu 2009. Lkn kwa sasa ya ubongo wa Chura unachokumbuka ni Kinana.
Kinachoisumbua chadema ni kinana. Mizoram mdebwedo Siku za nyuma sasa imekula kweli. Watu makini wanajadili haja sio mtu. Kinana huyuhuyu ndo kawashinda chaguzi zote. Rudini tena madhabahuni mpewe sadaka za kampeni.
Kuna haja ya kujadili mikakati mbadala ya kujenga nchi. Lena ni zaidi ya maendeleo ya wana Arusha? Every day Lema..... Lema. Sasa hata Leo mmeacha tena shughuli za kujenga uchumi mpo mahakamani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.