Hivi haya mawazo ya kuwa nguruwe ni dawa ya mapepo na uchawi umepata wapi. Kuna maandiko? Au ndio mawazo ya kukaririshwa kwa kusikia tu toka kwenye jamii ya wafugaji na walaji nguruwe kama wewe ili kutetea na kuonyesha uzuri wake.? Ni mawazo tu.
Ukinitajia tajiri muislam mmoja wa nchi hii, aliyesoma mission, siingii tena jf. Au unamaanisha mafanikio yapi! Maana hata wasiosoma wapo wengi waliofanikiwa kuliko waliosoma.
Kama ulivyokuwa mtumwa wa lugha ya kingereza!
By the way isome kwanza dini hizi kwa kina utaelewa kwann itumike lugha moja ya kuabudia.
Cha kwanza kutumika lugha moja husaidia kuleta umoja katika dini.
Mfano:
Leo hii, muislamu anaweza akaingia msikiti wowote akisikia azana na akaswali bila...
Mtoa mada mimi nadhani ungetutajia mikoa tajiri ya tz ambayo haikutawaliwa na waarabu ambayo inawazidi utajiri waarabu ili tuone kama kuna connection yoyote kati ya umasikini na uarabu.
Kabla ya kupost hii, nakusihi ungejaribu kutafakari vzr, maana hapa tz kuna wasomi ambao ni nyie lakini hatuwafikii waarabu pamoja na kuwa na rasilimali nyingi kuliko wao, ukizingatia wasomi mpo.
Hizi chuki dhidi ya waarabu hazitajenga chochote. Maana pamoja na uvivu wao huko saidia huwezi kuta...
Hawa wote wanaojinadi na kupata wafuasi kupitia miujiza ni matapeli tu, hao wengine kwasababu hawajaumbuka bado.
Badala ya kukusanya watu na kuwakataza kufanya maovu, wao watu wa Mungu wanahubiri miujiza na utajiri ili waendelee kuneemeka, hii ni mbaya sana.
Tutumie nguvu kubwa kukataza maovu...
Ishara za binadamu kuwa sawa ni nyingi sana, wala si kifo peke yake.
1. Wote wanapata haja kubwa na ndogo bila kujali walichokula na kunywa
2. Pumzi, hewa ni ile ile ya aina moja
3. Wote wanashikwa na usingizi, bila kujali wanapolala.
4. Njaa, kula
5. Na mengine mengi
Sioni kama kuna chakula chenye shida duniani as long as kimeitwa Chakula, tatizo ni kwamba tunachokula kinalingana na utaratibu wetu wa maisha?
Mtoto wa kiume na unakuwa na ratiba kama za kike, safari ndogo tu bodaboda/bajaji/gari, huna ratiba ya kukutoa jasho hata moja isipokuwa joto la ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.