Tunasema…
Moja ya eco – system zenye PESA nyingi zaidi duniani basi ni pamoja na…
“MPIRA WA MIGUU”
A.K.A… SOKA!
Yaani…
Ukikaa sehemu yoyote ile ndani ya MCHEZO wa mpira wa miguu basi una nafasi kubwa ya kutengeneza pesa nyingi.
Ukitaka uwe mchezaji kama Dickson Job…PESA UTAPIGA!
Ukitaka...
Tunasema ili uweze kufanyikiwa kwenye kitu chochote kile ni lazima uwe na
“Model ya kujirudia inayokupa MATOKEO wanayoyataka walengwa wako kila mara”
Yaani…
Lazima uwe na kitu, bidhaa, huduma au mfumo flani ambao kila ukiutumia unakupa matokeo yale ambayo walengwa wako wanayahitaji.
Mfano…...
Kabla sijakwambia ni STRATEGIES gani ningeenda kuzitumia ili kujenga hiyo brand…
Naomba kwanza nikwambie maana sahihi ya BRAND ili uweze kunielewa vizuri huko mbele.
Huwa napenda kuelezea brand kwa urahisi kwa kutumia hii EQUATION hapa chini…
Ownership + Association = BRAND
Nimekuacha...
Na...
Jinsi Wewe Unavyoweza Kuanzisha Biashara yako pia!
Moja ya Changamoto ambayo Wajasiriamali wengi wamekuwa Wakipitia ni Jinsi ya Kuanzisha Biashara bila ya kuwa Mtaji.
Yaani…
Je kuna Njia yoyote RAHISI ya Kuanzisha Biashara bila kuwa na Mtaji?
Ukweli ni Kwamba…
HIYO NJIA IPO NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.