Yupi mbunge unatamani awe Waziri wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mwaka 2025-2030.
Maoni yangu
1. Paul Makonda.
2. Doto Biteko.
3. Dorothy Gwajima.
Nitajie wabunge watarajiwa watatu unatamani wawe mawaziri.
Wana Tamaa ya kuteuliwa Hata UDC Ila serikali mpaka leo haijawaona naomba niwaorodheshe.
1. Harris Kapiga
2. Mc Pilipili
3. Masanja Mkandamizaji.
4. Maulidi Kitenge.
5. Mwijaku.
6. Shilole.
7. Wema Sepetu
8. Steven Nyerere.
Hawa ni watu wameonyesha nia kubwa ya uchawa na kupewa fadhila yoyote...
Basics Need ule ushibe uendelee kumtumikia mwajiri.
Je siku ukipata ulemavu wa kudumu ,ugonjwa au kifo unadhani familia unayoiacha itapata wapi hizo basics need Kama sio Future ya uwekezaji itakusaidia
Habari.
Namba niulize kitu jamii yetu ya kitanzania imekuwa ikitupa credit kubwa watumishi wa serikali na kuonekana Kama tumetoa kimaisha.
Hali inayopelekea majukumu yote ya kifamilia Kama kusomesha,kulea ndugu yakiwa juu yetu sisi watumishi.
Katika Jamii inayotuzunguka Kuna misiba,Harusi na...
BIMA AUTHORIZED Kuna muda inasumbua je watu wawe hawawapi huduma mpaka mtandao uwe sawa Kama hospital kubwa.
Tunapowaambia msiandike tar ni kwa kuwa Kuna muda mfumo wa bima unasumbua unaweza kurudi siku 3 mbele na wewe huduma ulishapata lazima tufanye authorized upya siku mtandao utakapokuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.