Recent content by screen short

  1. S

    Utata wa kanisa la Arise and Shine. Je, linatumia usajili wa Calvary Assemblies of God(CAG)?

    Kanisa la arise and shine ni la muda mrefu sana tangu nianze kulifahamu chini ya Muhubiri Mwamposa, lkn usajili wake mpaka sasa sijaelewa kabisa, je lipo chini ya usajili gani? Na nani mmiiki wa hili kanisa? Naombeni kwa wajuzi mnijuze. Pia soma >> Nani anawajua Wajumbe wa Baraza la Wadhamini...
  2. S

    Israel yaishambulia Iran, milipuko yasikika katika mji mkuu wa Tehran

    Iran ulinzi wao wa Anga haupo imara kabisa watu wanajipigia watakavyo tu
  3. S

    Putin akiendelea kuichekea Ukraine: NATO italisambaratisha taifa hilo siku chache zijazo

    Sio rahisi km unavyofikiria, ingekuwa vita ni rahisi hivyo, Israel angekuwa ameshaiteka Gaza yote kwa muda mrefu, vita vya siku hizi ni lazima utumie akili kubwa sana ilinuchumi usiathirike, mfano: Ukraine wanatengeneza drone za ghalama ndogo sana lkn madhala yake ni makubwa, ukitaka...
  4. S

    Je Israel itaishambulia Iran?

    Mnasemaga hivyo hivyo mambo yakianza kuharibika mnaanza kutia huruma.
Back
Top Bottom