Mkuu mimi nilikuwa na h pylori ila nimeenda kupima sasa nipo negative h pylori shida niliyobakiw nayo ni kiungulia(acid reflux) je hii unaweza nisaidia
H pylori unaweza hisi una mgonjwa yote mimi ilinipata mwaka huu mwezi wa pili nilipima sukari,shinikizo la damu,ngoma, nikafanyiwa cjui fullblood picture mwishow nikaambiwa h pylori nipime pia ndo nikawa + h pylori
Dalili nilizopata mimi 1.kiungulia hasa wakati wa usiku hakuna kulala 2.kichefu...
Nimepew dawa za wiki mbili kweli mkuu je baada ya hapo nawez rudia mlo wa kawaid mkuu maana saiv nimepew makatazo sana
Alaf vip kuusu kuuma kwa lips maan hususan za juu zinauma wakati mwingine
Miaka 26 kg61 mm nina umbo dogo tu lakipare ni mwalimu maji nakunywa mana nipo sehemu yenye jua kali sana msongo wa mawazo cjui kama ninao mana naskia watu wanasemag unawez kuw na msongo na usijijue
Wakuu habarini za weekend nisipteze muda sasa ni wiki ya tatu sasa napata kiungulia kikali, kizungu zungu yaani kuna muda nikisimama kama naona naanguka hivi, lips zinauma mara nyingine kichefuchefu. Je wataalam wa JF hali hii inayonitokea, nitakuwa nasumbuliwa na nini?
Natanguliza Shukran zangu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.