Recent content by Scamper

  1. S

    JamiiForums Tanzania Lilikuwa ni kosa kubwa kuifanya Dodoma makao makuu ya nchi

    Sasa unataka nani akutafutie chakula#kaza
  2. S

    JamiiForums Tanzania Wizara ya Elimu acheni kuwa madalali wa Scholarship za Ubalozi

    Habari kiongozi,Utaratibu wa kusoma Masters kwa nchi za Finland,Norway,Sweden na Dernmak upoje?Hasa gharama na qualifications. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  3. S

    JamiiForums Tanzania Waziri Aweso: Bwawa la Mindu ni roho ya Wananchi wa Morogoro. Watu kukosa maji wiki 3 Morogoro ni uzembe. MORUWASA Msikae Ofisini

    Kata ya Nanenane inafika mwezi Sasa hakuna maji,maji dumu moja kwenye mkokoteni shilingi 500. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. S

    JamiiForums Tanzania Ni kweli Dereva alimuacha Nape akiwa Ukumbini Mlimani City baada ya kupata taarifa bosi wake ametumbuliwa?

    Wanatembeaga nazo aina hata 4. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  5. S

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Afisa Elimu kata ya Kasekese anatumia madaraka yake vibaya, Serikali tunaomba mtuondolee

    Mambo mengine aibu ishu ya kata aishughulikie Rais.Wilaya imeshindwa au Mkoa,hebu fanyeni kazi! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  6. S

    JamiiForums Tanzania Tukiacha na unafiki Paul Kagame ni mzalendo wa nchi yake. Tanzania anayeingia madarakani anawaza kujinufaisha

    Unadanganywa na vipicha vya mji wa Kigali nenda Gisenyi ndanindani huko!! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. S

    JamiiForums Tanzania Tukiacha na unafiki Paul Kagame ni mzalendo wa nchi yake. Tanzania anayeingia madarakani anawaza kujinufaisha

    Wadanganye wasioijua Rwanda,pazuri ni Kigali tu pengine umefika,unapajua?Usifananishe Tanzania ni Mambo madogo Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. S

    JamiiForums Tanzania Kikatiba Spika anatakiwa achaguliwe kutokana na wabunge wa majimbo?

    Anaweza ilimradi awe anasifa za kuwa Mbunge. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. S

    JamiiForums Tanzania Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

    Hiyo issue ndio imechangia pakubwa Wilaya za Mpwapwa/Kongwa na Urambo kuwa na majoka mengi baada ya project ya karanga kuanzishwa na kutumia nyoka Kama Kinga dhidi ya panya waharibifu kwa zao la karanga Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. S

    JamiiForums Tanzania Nimetembea mikoa mingi Tanzania nimegundua kuwa Dodoma kuna nyoka wengi hatari kuliko mikoa yote Tanzania

    Nenda Mpanda(mpimbwe) na katavi yote,Urambo,Nachingwea na Bariadi. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  11. S

    JamiiForums Tanzania KERO Barabara za jijini Dodoma hazifanyiwi usafi zimejaa mchanga. Ukitembea kwenye lami ni sawa na aliyepita barabara ya vumbi

    Ukishasainiwa vilivyokupeleka,upande bus urudi kwenu,ya huku waachie wa huku. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  12. S

    JamiiForums Tanzania Nani aliamuru jengo la bunge Dodoma kujengwa uswahilini

    Sio lazima upite CBE,unaweza kuzungukia Shoppers,Njia panda ya Area D ukasepa sio hadi mpishane na misafara Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  13. S

    JamiiForums Tanzania Mkoa upi hapa Tanzania wenye vitu vya asili kwa wingi vyenye Ladha nzuri?

    Jidanganye Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. S

    JamiiForums Tanzania MCL: Mkuu wa Mkoa adaiwa kumlawiti mwanafunzi wa SAUT

    Kuna uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Simiyu.Aliekuwepo katenguliwa Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  15. S

    JamiiForums Tanzania Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Dar Kuna matapeli wengi kuliko raia wema. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom