Recent content by Scamper

  1. S

    Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Dar Kuna matapeli wengi kuliko raia wema. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  2. S

    Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Kama unaungaunga mixer utapeli Dom hapakufai,ulinzi upo macho masaa 24/7,huku kwa wastaarabu. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  3. S

    Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Shida za nchi yote zinajadiliwa Dodoma,hakuna sehemu utakuta zikijadiliwa kwa pamoja,Dom ina sehemu yake maalum. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  4. S

    Kwanini Watu Wanaoishi Dar, Arusha na Dodoma Hujiona ni "Business Class"?

    Kila kitu kinapangwa na kuamuliwa Dodoma,kwingine utekelezaji tu!!Dom forever Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  5. S

    Kumbukumbu ya Iftaar Nyumbani kwa Balozi Ramadhani Kitwana Dau Yanga Kids Walipofuturu Pamoja

    Ukimtaja Balozi Dr.Dau nakumbuka Mafia juu ya ukarimu,uzalendo alioufanya kwa watu wa Mafia kipindi naishi kule karibu kabisa na nyumbani kwake Tereni. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  6. S

    Dumuzi aendelea kukitafuna Chama cha Walimu Tanzania

    Mtaka nyingi na Saba hupata mwingi msiba,huyo Maganga angeenda kwenye UDC sahizi angekuwa anatumikia wananchi,Kama kakutuma atulie tu wakati umeshampita. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  7. S

    Ijue hifadhi ndogo kuliko zote Tanzania

    Katikati ya Baleni na Ndagoni kwenye bwawa pale,Kuna viboko kweli Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  8. S

    Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

    Huko cwt hakufanyiwi Auditing,kiburi kinazaa anguko.Labda wamuonee huruma Ila Segadansi panahusika. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  9. S

    Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

    Mbona wamemfukuza na hana cha kufanya.Ngoma ikilia Sana inapasuka. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  10. S

    Japhet Maganga wa CWT akamatwa kwa kufanya fujo

    Kiburi chake akaletee Segadansi wamnyooshe,ndegelesiii. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  11. S

    Sherehe za Maadhimisho ya Miaka 30 ya CWT yaahirishwa

    Aende kwenye Chama Cha wahasibu,akawabishie huko!Uking'ang'anizi umemjaa na uroho wa madaraka.
  12. S

    Mwalimu Japhet Maganga wa CWT hafukuziki? Jibu hili hapa

    Huyo naye akafundishe huko Temeke hakusomea kuwa katibu wa cwt.
  13. S

    Kwa hili la ujenzi wa mnara wa mashujaa, Mkoa wa Kagera hautendewi haki

    Bora kuwa na bahati,hutumii nguvu kutoboa!! Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  14. S

    Kwa hili la ujenzi wa mnara wa mashujaa, Mkoa wa Kagera hautendewi haki

    No way out,kwenye maisha omba kuwa na bahati,siyo kuwa na nyota ya pumba kubeba matatizo Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
  15. S

    Kikao cha baraza la taifa la chama cha Walimu Tanzania tarehe 18/6/2023 jijini Dodoma ni mwarobaini wa mtikisiko ndani ya chama

    Hakuna anamtetea alifanya makosa makubwa Sana kugomea uteuzi wa Mh Rais hakupaswa kuwa Ofisini Kama anabusara. Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Back
Top Bottom