Shida za nchi yote zinajadiliwa Dodoma,hakuna sehemu utakuta zikijadiliwa kwa pamoja,Dom ina sehemu yake maalum.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Ukimtaja Balozi Dr.Dau nakumbuka Mafia juu ya ukarimu,uzalendo alioufanya kwa watu wa Mafia kipindi naishi kule karibu kabisa na nyumbani kwake Tereni.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Mtaka nyingi na Saba hupata mwingi msiba,huyo Maganga angeenda kwenye UDC sahizi angekuwa anatumikia wananchi,Kama kakutuma atulie tu wakati umeshampita.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Huko cwt hakufanyiwi Auditing,kiburi kinazaa anguko.Labda wamuonee huruma Ila Segadansi panahusika.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hakuna anamtetea alifanya makosa makubwa Sana kugomea uteuzi wa Mh Rais hakupaswa kuwa Ofisini Kama anabusara.
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.