Mpaka inakubaliwa na mamlaka husika za serikali ina maana wamefanyia utafiti wa kutosha sana Watanzania ebu tuache imani potofu na kuwaza negatives kila wakati na ndio maana ata wake zetu usipo wafundisha kuendesha gari anakwambia siku ukiumwa nani atakuemdesha sheet
Habari wadau,
Msaada Mwanangu anatapika na kuharisha na muda wote analala tu, naombeni mtu ambae ana experience na hii kitu.
Nimeenda hospitali mbili tofauti wamempatia madawa kunywa shida na akinywa muda si muda anatapika tena , hospitali walisema ana UTI na backeria tumboni sasa da...
Picha: Honda Crossroad
Habari wakuu umu ndani kuna watu wa maana sana na nawa amini sana mwaka juzi mlinishauri kuhusu Rumiona nikaenda kununua na sijajutia, yaani nimefurahia sana.
Sasa nataka kununua Honda Crossroad naomba mwenye uzoefu na hii gari please anisaidie mawazo namba yangu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.