Recent content by sba

  1. sba

    Hotuba binafsi ya Tundu Lissu mbele ya wanaombackup huko ulaya ni ya kinyonge sana na ina dalili zote za kukata tamaa

    Na hiyo ndo point kubwa 21yrs madarakani ametosha awaachie wengine
  2. sba

    Hotuba binafsi ya Tundu Lissu mbele ya wanaombackup huko ulaya ni ya kinyonge sana na ina dalili zote za kukata tamaa

    Kwani mwenyekiti kazi yake ni kutoa hela yake au kuandaa mazingira ya Chama kujitegemea na kujiendesha chenyewe???
  3. sba

    SoC04 Dira ya maendeleo ya taifa ndani ya miaka 20 ijayo

    Kama taifa ili kukua kiuchumi yafuatayo yanaweza saidia kulifikisha taifa sehemu nzuri ya kimaendeleo 1.kuweka Dira ya pamoja kama taifa ambayo itaonesha mipango mikakati ya mda mrefu na mda mfupi kama taifa ni wapi tunapaswa kufika na vitu gani tunataka kuwa navyo 2.kuwekeza nguvu kwa vijana...
  4. sba

    SoC04 Tanzania tuitakayo katika sekta ya afya kwa ustawi wa maendeleo ya taifa letu na wananchi kwa miaka 10 ijayo

    Ili kuweza kufikia maendeleo Mazuri kama taifa afya ni kitu ambacho kinapaswa kuangaliwa kwa upana zaidi yafuatayo ni mawazo yangu juu ya maendeleo ya taifa kwa miaka kumi katika sekta ya afya 1. Kuajiri wataalam wengi wa afya kwenye vituo vyote vya serikali kuanzia dispensary hadi hospital...
Back
Top Bottom