Sasa kifuatacho tunasubiri nguvu ya wanaich. Katiba mpya itapatikana. Hata kwa kutumia nguvu. Ccm wanafikir wao wana nguvu za kumtawala kila mtu. Lakin hawajui kuwa wananch wana nguvu kuliko serikali. Waulize mini kilichotokea misri
Hakuna kitu kinauma kama kukaa bungen huku wengine wakiwa wanafanya upumbavu na wakijua kuwa wananguvu na uwezo wa kuwashurutisha wenzao. Sasa wakat umefika watanzania tumechoka!!! Na tutapaza waiting zetu hata kwa kutumia nguv. Hongeren UKAWA kwa Hathaway mlioichukua. Tuko pamoja. Yaan wananchi...
Mmmh jaman hampo serious!! Kwel we umshindwa kimpata m2 unayempenda katika mishe zako zote?? Mpaka tutafutane mtandaon? U can't be serious once again. Sasa ukikubaliana na m2 kwenye cm au email then baada ya kumuona ukamdis inakuwaje. Kama umeshindwa kutongoza unaowaona waombe bac wazaz...
Mmmh jaman hampo serious!! Kwel we umshindwa kimpata m2 unayempenda katika mishe zako zote?? Mpaka tutafutane mtandaon? U can't be serious once again. Sasa ukikubaliana na m2 kwenye cm au email then baada ya kumuona ukamdis inakuwaje. Kama umeshindwa kutongoza unaowaona waombe bac wazaz...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.