Recent content by SautiYaMnyonge

  1. S

    Kabla ya vita USD 1 ilikuwa sawa na Rubles 77, sasa hivi ni sawa na Rubles 55. Tunajifunza nini kutokana na hali hii kama Taifa huru?

    Msumbiji/Mozambique mradi wa LNG ndio upo kwenye utekelezaji bado hawajaanza kunufaika nao
  2. S

    Kuna Wamasai wamewahi kuondoka Ngorongoro kwa Hiyari

    Tunapozungumzia suala la Ngorongoro kwa hisia tukumbuke wapo wamasai walishaondoka kitambo na wanaishi maisha mazuri tu mjini. Hata mashuka walishaacha kuvaa. Wapo wengi ni walinzi na wasusi mjini. Wengine wapo kwenye fukwe za bahari wakitafuta wazungu. Tujikumbushe kwamba hapo zamani mmasai...
  3. S

    Je, ni Usultani au Demokrasia ndani ya Vyama vya Upinzani?

    Tafakuri huru • Freeman Mbowe Mwenyekiti CHADEMA Taifa yupo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 18 • James Mbatia Mwenyekiti wa NCCR Mageuzi Taifa yupo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 22 • Prof Ibrahim Lipumba Mwenyekiti wa CUF Taifa yupo kwenye nafasi hiyo kwa miaka 23+ • Agustine Mrema Mwenyekiiti...
  4. S

    Shaka ameziagiza mamlaka husika kuhakikisha mradi wa maji wa Nandete uliopo wilayani Nanyumbu, Mkoa wa Mtwara

    NA MWANDISHI WETU Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka ameziagiza mamlaka husika kuhakikisha mradi wa maji wa Nandete uliopo wilayani Nanyumbu, Mkoa wa Mtwara unakamilika na kutoa huduma kwa wananchi. Shaka ameeleza hayo baada ya kupata taarifa...
  5. S

    Shaka aagiza wakulima wa korosho kupatiwa pembejeo haraka mkoa wa Mtwara

    KATIBU wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi na Uenezi Shaka Hamdu Shaka amewataka wakuu wa mikoa kote nchini wenye wakulima wa korosho kuacha urasimu na kuharakisha usambazaji na ugawaji wa pembejeo kwa wakulima hao. Komredi Shaka ametoa maagizo hayo baada ya kusikia malalamiko ya wananchi...
  6. S

    Shaka awasha Rasmi mtambo wa kusambaza maji pamoja na kushiriki Ujenzi wa Shule maalum ya Sekondari ya Wasichana

    Kutoka Lindi Mjini Na Mchinga Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, leo amewasha mtambo wa maji na tone la kwanza la maji likatoka kwa wakazi wa eneo Mitwero mkoani Lindi . Akizungumza baada ya kuwasha mtambo huo, Shaka alisema kukamilika kwa mradi...
  7. S

    Shaka awasha Rasmi mtambo wa kusambaza maji pamoja na kushiriki Ujenzi wa Shule maalum ya Sekondari ya Wasichana

    Kutoka Lindi Mjini Na Mchinga Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC), Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, leo amewasha mtambo wa maji na tone la kwanza la maji likatoka kwa wakazi wa eneo Mitwero mkoani Lindi . Akizungumza baada ya kuwasha mtambo huo, Shaka alisema kukamilika kwa mradi...
  8. S

    Shaka atinga kijiwe cha kahawa, vijana wamweleza Rais Samia anavyoupiga mwingi

    Shaka atinga kijiwe cha kahawa, vijana wamweleza Rais Samia anavyoupiga mwingi Na Mwandishi Wetu, Tabora Katibu wa NEC ya CCM, Itikadi na Uuenezi, Shaka Hamdu Shaka ametembelea maskani iitwayo Lumbesa, inayoundwa na waendesha maguta na mikokoteni katika Barabara ya Ujiji Manispaa ya Tabora...
  9. S

    Rais Samia atembelea ofisi za CCM mkoa wa Tabora

    TAARIFA KWA UMMA Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan leo Jumatano tarehe 18 Mei, 2022 ametembelea ofisi za Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Tabora ambapo alipata nafasi ya kusaini vitabu vya wageni, kukutana na kufanya...
  10. S

    SHAKA: Uamuzi wa kuwapanga Wamachinga usiwape Umasikini Wananchi

    Na Mwandishi Wetu, Kutoka Babati. KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa (NEC) ya CCM, Itikadi na Uenezi, Shaka Hamdu Shaka, amesema uamuzi wa serikali kuwapanga vyema wafanyabiashara wadogo hauna lengo la kuwatia umasikini bali kuwajengea mazingira mazuri ya kujiongezea kipato. Amesema kutokana...
  11. S

    Rais Samia apewa tuzo Ulinzi haki za Binadamu na Utawala wa Sheria

    Mtandao wa watetezi wa haki za binadamu nchini (THRDC) umemtunuku Tuzo Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan kutokana na mchango wake wa kulinda na kusimamia haki za binadamu na utawala wa Sheria katika kipindi chake cha mwaka mmoja tangu aingie madarakani...
  12. S

    Hatua gani stahiki za kuwakabili Panya Road?

    Inaweza kusaidia? Tunawapataje???
  13. S

    Hatua gani stahiki za kuwakabili Panya Road?

    Baada ya kuwahoji au kabla?
  14. S

    Hatua gani stahiki za kuwakabili Panya Road?

    Ushauri wako nini kifanyike?
Back
Top Bottom