Recent content by Sauti haki

  1. S

    Dini itoe mwelekeo sahihi Kkama dira

    1. Yapo mambo hutokea kwa maombi na mengine hutokea kwa kusaidiana halafu maombi yakafuata. Viongozi wengi wa dini hujua la kuombea na la kuchangia ila huchagua kuombea tu hata vinavyohitaji kuchangia. 2. Kadri dini zinavyofundisha kumpenda Mungu, zifundishe pia wanadamu kupendana. 3. Kwa...
  2. S

    SoC04 Ujenzi wa miundombinu ya afya na elimu iendane na idadi ya wafanyakazi

    Miundombinu hurahisisha utoaji wa huduma kwa jamii Jamii inahitaji miundombinu bora ya barabara, maji, umeme, reli, hospitali, shule nk. Serikali imejitahidi sana kujenga miundombinu ya kutolea elimu na afya, nipongeze sana kwa jitihada hizi. Pamoja na pongezi Kuna doa na dosari za huduma...
  3. S

    SoC04 Mimi rafiki yake Sisi

    Kwanini Mimi rafiki yake Sisi? 1. Kuielimisha na kujenga jamii nzima(sisi) Ni lazima ianze na mtu mmoja mmoja(Mimi) 2. Hatuwezi kuwa na jamii ya werevu ikiwa Kila mtu ni mjinga. Tunahitajika kuwasha taa ya maarifa na elimu kwa Kila mtu. 3. Tunamulikaje wengine ikiwa tupo gizani, Ni sharti Kila...
Back
Top Bottom