Recent content by SaulGoodman

  1. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Fixed Deposits Account, UTT-Amis ni njia nzuri za kutunza pesa LAKINI SIYO uwekezaji abadani

    hivi unijua inflation rate ya 15% kwa mwaka au unasema???
  2. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    At some point you will realize that not everyone against you is your enemy and not everyone supports you is your friend
  3. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wananufaika kwa kusoma na kujiandaa na usahili, we unataka uonewe huruma sijui upewe maneno ya faraja 😂😂😂 haitasaidia. I used to have that victimization mentality and it didn't get me anywhere
  4. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    You 25+ yrs and waiting for public to sympathize with you??? Nobody cares about you or how you feel, I'm sorry but that's the reality. Stay in your lane, fight your battle without having entitlement so that if someone joins you then it's ok if they don't it's even fine. You want to be pampered!!!!
  5. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Nafasi inaweza ikawepo na isiwepo, kama watapata mtu ambaye haihitaji hizo process zote au ameshazikamilisha kwanini wamuache waendelee kukusubiri wewe??? Hii ndo Ile "Hoping for the best but expecting the worst"
  6. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    hiyo siyo Muhimu sababu hutafukuzwa kazi due to lack of competency. I can help in regards to interview preparations.
  7. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kwa wale wa DBA I can help.
  8. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Hakiri ndio nini? Mi sijakatisha mtu tamaa, mi nasema tu uhalisia TRC ni jumba bovu, wakiboresha pia tutajua mambo mazuri sasa namkatisha nani tamaa hapo? Watu wenye victimization mentality kama wewe ndio wataona wamekatishwa tamaa ila watu ambao wanajua wako responsible kwaajili ya future zao...
  9. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    We endelea na udalali wa viwanja tu
  10. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Huyu mnyasa ameshakuja na nasaha zake
  11. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Maokoto gani??
  12. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kama unataka kua Tutorial Assistant basi nina habari mbaya kwako. Ila kama ni kazi zingine fresh tu. Sema na wewe GPA ya 2.7 halafu course yenyewe ni public administration au mlikua mnafundishwa kwa kichina!!!
  13. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Ili usijipe pressure, assume tu itakua ime expired
  14. SaulGoodman

    JamiiForums Tanzania Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Kaa navyo tu
Back
Top Bottom