Hili lakuwekewa gharama za cku nzima wakati umepark kwa hata nusu saa lipo Sana na hata ukienda kwenye ofisi zao, ushirikiano ni mdogo Sana. Kuna kipindi niliandikiwa nimepark slip way wakat tangu huu mwaka umeanza sijawahi fika huko. Unaweza kupark gari saa 11 jioni na mwisho ni saa 12 jion lkn...
Kwa maelezo yako huyo mdada anafanana na mmalawi mmoja ambaye tulikuwa naye lkn alishaondoka. Muda wote anaongea na cm na anajua kupika ugali tu. Kwakweli wadada wa kazi kwasasa Ni changamoto.
Nafikir hakuna haja ya kumuapiza mtoa mada. Kimsingi aliyoyaongea yana ukweli kwa kiasi kikubwa. Kwa wanaoishi maeneo ya kinondoni, Sinza Kuna mabinti wengi wamemaliza chuo wamepangisha vyumba wanajitegemea wakiwa hawana kazi maalum. Ni aibu kwakweli, mdada anakuwa na wanaume wengi km Kijiji lkn...
Nataman huu ujumbe uwafikie angalau watapunguza lawama na laana kwangu. Umewajengea kanyumba wakat wew mwenyewe una mke na watoto lkn huna nyumba umewajengea wao lkn bado wanakulaumu kila cku inafika mahali inakatisha tamaa unaona liwalo na liwe tu.
Haya mambo sidhani km yanaweza kupunguza umaskini kwa kiasi kikubwa. Mfano hapa Dar lami zipo, umeme na maji yapo lkn umaskini Ni mkubwa Sana. Kiukweli inakatisha tamaa Sana, sioni mipango yoyote ya maana ya serikali kupunguza umaskini kwa wananchi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.